
Anold Kayanda...anafanya top 20 ya clouds fm na Afande......

Efraim Kibonde ...Mzeee wa magazeti ndani ya Jahazi.......jamani maoni yako nimeyaomba nikimaanisha utendaji kazi katika kukuburudisha wewe na si mvuto wa sura wala umbo
....NANI ANAKUVUTIA HA PA CLOUDS FM RADIO?

Kila mmoja anafanya kazi yake katika kukupa burudani ndani ya radio yako ya clouds fm,amekuvutia sana..utendaji wake wa kazi unakuvutia na kukupa burudani...unaweza kumpa credit hapa,na hata kama kuna mahali hajakufurahisha pia wewe sema tu maana ni katika kuhakikisha burudani inaendelea ndani ya mjengo

Dj Bulla,Sophia Kessy,Antonio Nugas na Dj Tooshot...Bambataaaaaa

Babra Hassan na Gerald Hando...wanasikika katika power breakfast

Dj Fetty...katika Bongo Fleva na XXL

Gadna,Adam mchomvu,Jackline Kombe,Ibrahim Masudi,B12,Reuben Ndege.

Loveness Love...ala za roho na Adam Mchomvu

Gadna katika Jahazi la clouds fm na mkewe Ldy Jaydee
Babra na Hando ni number one akifuatiwa na Ephraim Kibonde japo hapa naona hujamuweka. Hawa wote watatu ukisikiliza vipindi vyao hata kama umekasirika utacheka tu. Halafu ujumbe ulioko kwenye vichekesho au matani yao unakuaga na mafundisho mazuri sana na yanachoma ku moyo kama wahusika wangekuwa wanawasikiliza kwa makini
ReplyDeleteXXL INABORE NA SUZY NA GEA WAMEZIDI MAMBO YA USWAHILI. SOPHIA KESSY NA MADJ WAKE (BULLA NA TOOO SHOOOT NAWAPA BIG UP
hi Dinah,its mariam,
ReplyDeleteToday u got me, kwakweli navutiwa sana na dina marios, gea,gadna ananibamba sana na jahazi akiwa na kibonde, please tafuta picha ya kibonde ni muone, love big
wengine wazinguaji hamna mvuto wala nini!hao wa asubuhi wakina gerald na bi hassan wako juu sana
ReplyDeleteNa mpiga Big up Gea, kwanza kwa ufasaha ktk kusumulia jambo na pia ana vi tune vyake fulani kwenye sauti ambapo anajua wapi pakuvichomeka na wekea mkazo issue husika. na kicheko chake cha ki ....., kwa wengine siwezi jua sana manake mie waga nasikiliza power breakfast nikiwa njiani ofcn ikifika saa nne naweka leo tena mpaka jioni tena nikwia njiani jahazi!!
ReplyDeleteBabra Hassan na Gerald Hando they always make me laugh they like to blast each other when I listen at them I remember my bodies at university they are really fun. Their questions and answers always jazzy me, followed by Gadna D H he is gud he is a gud presenter he poses while he is talking some time he brings nice jokes i really like to listen jahazi.
ReplyDeleteAll Clouds presenter you are really gud you know how to entertain people am dying to watch your TV.
Clouds FM mko Juu hamna mpingaminzi
Dina, labda ungeweka wazi kuvutia kwa nini hasa.Yaani ufanyaji wake wa kazi au utanashati(uzuri wa mtu-urembo...)....au unataka tu kujua kwa ujumla yaani kila kitu nilivyoorodhesha hapo juu.?
ReplyDeleteDina mbona hujamuweka yule anayesemag asalam aleykhum ktk kpind cha jahazi?kumbe babra ndo mnene hivyo,ckutegemea,Gea na suzy hawajatoka vizuri,ai buuuuuuuula!kumbe yupo simple co kam adam mchomvu blazamen,fety kapendeza sana huyu yupo simple.
ReplyDeletenlikuwa cmjui babra kumbe ndo bonge hivyo,yn tofaut na saut yake,napenda ucheshi wao ktk power breakfast akiwa na Gerald,kiukweli mi kpind ninachokpenda ni leo tena,na mtangazaji anayenivutia na yule ambaye huwa na Gadna ktk jahazi nmemsahau jina,kiukweli huwa nacheka sana nkmckiliza,wengine nao nawapenda hmna ambaye hanivutii.ASIA ALAWI
ReplyDeleteAdam aache ublazamen!
ReplyDeletejamani nampenda Gadna,anajheshim alafu katulia flan yn co mtu wa papara,mstaarabu,anamvuto kfp yuko pouwa.jide kapata
ReplyDeleteNampenda Gerald ananifurahisha sana,kuna cku alikuwa anaongea na bonge,kpnd hicho bonge alitembelea kwa wanyamwezi huko,asa bonge akamuuliza Gerald et unajua mnyamwezi akitaka kummuulza mwenzie huu mtumbwi wa nani wanasemaje?gerald akamwambia cjui,bac bonge akamwambia huwa wanasema WATOMBWAGA?gerald akamwambia asa njoo uwaambie wazee wa pwani km hawajakukmbiza,jaman nlicheka sana,hadi ss nkikumbuka huwa nacheka,nampenda san gerald,alafu dina weka picha ya bonge.
ReplyDeleteDina huyo loveness ndo nani?m cmjui
ReplyDeleteanayenifurahisha wa kwanza ni wewe mwenyewe Dina. kwakweli unakonga nyoyo za mashabiki wako. Big up Dina.But wengine pia wanafanya vizuri japo mnazidiana. from my side sijaona anayefanya vibaya katika kipindi chake
ReplyDeleteDina kiukweli mtangazaji anaenifurahisha hapo clauds ni Kobonde hasa akisoma magazeti kwenye Jahazi
ReplyDeleteKadada ka cnza
Mhhhhhhh Jamani Dina hapo kazi ipo
ReplyDeleteKwani mimi binafsi hakuna mtangazaji nisiyempenda hapo Clouds fm, unajua kwa nini? kwa sababu vipindi vyenu vyote mimi navipenda sana na sio kuvipenda kwangu tu nivizuri sana kuanzia Power breackfast, Leo Tena, XXL, Jahazi, Night express na kile kipindi cha watoto cha j'mosi mm nakipenda.
Kikubwa labda mzidi tu kuviboresha ili viwe vizuri zaidi kwa mwakani. ila kwa sababu umesema tutaje wanaotufurahisha, binafsi mimi kama mimi
1. Dina Marios
2. Gadna Ggggggggggggggggggggghabash
3. Gerald Hando
4. B12
5. Zamaradi, Suzy na Gea hawa wanaenda pamoja kwa upande wangu, kiukweli Clouds wote
Adam mchomvu,Loveness, Jackline Kombe,Babra Hassan, Ibrahim Masudi,DJ fety, Reuben Ndege.mpo Juuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu zaidi.
Mama mario (tbt kisukuru)
nafurahishwa zaidi na kipindi cha leo tena, na mtangazaji anae nikosha ni wewe hapo dina, wakifuatiwa jopo lako lote la leotena yaani: Gea Habib, zamarad, Suzy, bila kumsahau GGGGHabash. Watajwa hapo juu wanavutia katika kazi yao.
ReplyDeleteNi mimi Ann, wa Makongo
I real like U guys bu mh!!!! Fetty I like u mo. Ki ukweli uko juuuuuuuuu kip t up darling'gal.
ReplyDeleteTs Mima hapa.
GEA napenda sana hekaheka zako ila my favourite presenter ni Zamaradi
ReplyDeleteMchofomvu ni nomaaaaaaaa!
ReplyDeletemimi nina vigezo kadhaa ninavyovitazama ninapojaribu kujibu kile unachokiuliza.
ReplyDelete1. sauti ya mtangazaji
2. ubunifu, uniqueness na kila siku a presenter should comeout with new ideas
so generally kwa vigezo hivyo hawa wafuatao wapo juu.
1. Ephahim Kibonde & Gadna (Sio kwa kuwa wanatangaza kipindi kimoja bali kwa vigezo wamefanana)
Aliko, Tukuyu
2. Babra na Gerald
3. Gea na Adam Mchofomvu
4. Fetty, Suzy, Sofia, B12 na Loveness
5. Waliobakia kina Jacqueline na wenzake wanamaliza portion iliyobaki.
Dina mbona mbaguzi, mzee wa chabo yuko wapi? hatujaiona picha yake pamoja na Bonge
dah!kazi kweli kuchagua.Wote mnafanya vizuri.Ila mimi Top TWO yangu ni
ReplyDelete1.Gerald Hando
2.Babra Hassan
Nawapenda sana na kipindi chao cha power breakfast.Nice!keep it up guys
MIMI NAWAFAGILIA SANA GERALD NA BABRA KATIKA POWERBREAKFAST HAO WANANIVUTIA SANA HASA KATIKA ZILE MADA ZAO ZA UKWELI NA UWAZI, HAO HAWAOGOPI KITU BABU NA HIVI NDIVYO INAVYOTAKIWA KUMCHANA(KUMPA UKWELI), KITI, AU CHOMBO CHA SERIKALI LIVE BILA CHENGA
ReplyDelete1.ADAM MCHOMVU
ReplyDelete2.DINA MARIUS
3.Ephraim Kibonde
4.Gadna G
5.RUBEN NDEGE
ata ukimuuliza LARRY KING atakupa same list...
ADAM ni mmoja kati ya watangazaji bora kabisa AFRICA...i sometimes think pengine amekosa watu wa kumshauri vizuri...uwezo alionao,ata akina Kabelo hawasogei.yuko natural,mbunifu na ni mwepesi kubadilika kulingana na mazingira...
jamani mi mzee Kibonde, babrah,Gerald,bonge na mzee wa chabo...jamani napenda jinsi wanvyotangaza na kuwaeka mambo serious na kuyazungumzia katika lugha yenye kutokumfanya mtu apasuke kwa hasira, bali kuelewa na kujaribu kautafuta muafaka wake... yani hata kama we ni fisadi ukasemwa na hawa watu9MAFISADI NA WALENGWA KATIKA TOPIC ZA VIPINDI VYAO) waeza ona aibu ilihali unacheka na huwa naamini watu wanaolengwa hubadilika huku wakitabasamu....
ReplyDeletenapenda aproach yao... wakati mwingine sio lazima kuweka ndita usoni katika kurekebisha mambo ka polisi,but do it in a funny way,tell someone that you are wrong while smiling and that person will change for sure..
Ahsante Guys, maana mi nimetumia aproach hiyo ofisini, nyumbani, na kokote its working.. i see the result every day...
kwa kipindi cha dada Dina, kukweli sijabahatika kusikiliza kwa muda mrefu, si unajua sisi wafanyakazi kokoliko ofisini lala salama nyumbani,,, but it seems watu wankifurahia, i wish nipate walau wiki nzima ya kupumzika nami nisikilize... keep up the good work guys...
Namkumbuka sana Kibonde alivyokuwa anatangaza katika tv fulani (ctn) kipindi hicho akiwa anasimulia kipindi cha michezo unaweza ukajikuta unanyanyua mguu unapiga hewa ukidhani ni mpira. Halafu kwenye magazeti jioni akikusimulia visa mahakamani utavunjika mbavu halafu ni mbunifu wa kuiga sauti za watu yaani weeee acha tu Kibonde ni number one. Naombeni kwenye Clouds Tv asikosekane kwenye kipindi cha michezo
ReplyDeleteNumber mbili ni Babra na Hando kwa pamoja. Hawa bwana ukisikiliza PB asubuhi wewe ni kucheka. Yaani wana utani mpaka basi na wakati mwingine utafikiri wanatongozana
Sofia Kessy ile africa bambataaa unanikosha vya kutosha ukishirikiana na dj bulla. Number tatu yenu
Ila kama kuna kutaja wa kwanza kutoka mwisho ni huyo mdada wa xxxl fetty na yule wa ala za roho loveness. Sina hakika kama tatizo liko kwa hao watangazaji wenyewe au ni nature ya kipindi chenyewe. Ila ukisikiliza mfano kipindi kama hicho cha ala za roho kutoka katika radio nyingine yaani unajikuta unabembelezwa na nyimbo zenye hisia kali hadi unalala na kusahau kuzima redio
You people you are all gud you are very unique compare to other presenter you are very funny this is very hard am telling you.my favorate presenter are
ReplyDeleteBabra Hassan and Gerald Hando, and Bonge
Gadna G Habash and Kibonde
Adam Mchovu
Dina Mario
DJ Fetty
They all make my day love you all
ujamuweka detective inakuaje dada dina?
ReplyDeletekiukweli kaka kibonde is the best presenter kwa hapo ana vionjo flani ambavyo kila jioni waga lazma nimckilize na magazeti yake kwakweli..
ubunifu mwingine wa dogo anorld kayanda..i like him kip it up broda
dina kiukweli waga sisikilizi sana vipindi vyako bt naamini unarock ile mbaya maana mara nyingi wife waga anacheka mwenyewe ananiambia mmh kweli kina dina machizi,, kuna cku nadhani mlikua mwasema vitendawili au methali alicheka sana..
kip it up mamii
JAMANI NAMPENDA SANA SUZY MBEYAAA LAKINI HUWA ANANIFURAHISHA SANA NA VIJIMANENO VYAKE WAKATI WA CHACHANDU LEO...DUU AMEJALIWA MANENO MDOMONI LOOO SIJUI KWAMUMEWE INAKUAJE...PIA NAMPENDA MAMA WA KITCHEN PARTY YAKO LEO...DINA NAKUFAGILIA SANA AFU WATU WENDI WANASEMA NIMEFANANA NA WEYE...GEA JIANDAE UWE MC WA KPARTY YA MDOGO WANGU
ReplyDeleteJAKLIN NAPENDA UNAVOTANGA TAARIFA YA HABARI HUWA UNASOMA VIZURI SANA
ReplyDeleteJAMANI MI ANAENIVUTIA NI eFRAIM KIBONDE MZEE WA ASALAM ALEYKUM, WA PILI pJ MZEE WA KUDADIS INGAWA HAMJAMUWEKA NA MSOMAJI MZURI WA HABARI NI GEORGE NJOGOPA INGAWA NAE HAMJAMUWEKA MWISHO SAUTI YA GEA IMESHIBA WANAWAKE WENGINE IGENI.
ReplyDeletePENDEKEZO DINA PUNGUZA UBAGUZI WEKA PICHA ZA WATANGAZAJI WOTE HALAFU NAOMBA PJ ALIPO ARUDI NAMSUBIRI KWA HAMU AJE KUTUPERUZIA WENGINE MICHOSHO TU
Du! kiukweli mi sikufikiria hata ckumoja ka Babra Hassan ni mnene kiasi hicho huwa nadhani nibinti tu mwenye mwili wa kawaida bac sauti yakeinalipa sana kama ya mtoto mchanga ila kwaupande wanao nivutia ni 1. Babra,na kina gerald hando, paul james, na kwenye kipindi chenu cha leotena pamoja na Jahazi ya kina Gadna na Kibonde yani hasakibonde anaposoma habari za magazetini du anauwa ile mbaya na wengine walio bakia na wapenda wote jamani tuko pamoja kama one love ya Fiesta.
ReplyDeletekiukweli mi i KIBONDE na GADNA nawapa namba 1,
ReplyDelete2. GERLAD NA BABRA
3. SOPHIA KESSY
4. GEA NA DINA
5.ANTONIO
WENGINE WANAFUATA
Kundi lote la Leo Tena, Dina, Gea, Zamaradi na Suzy! Yaani nikiwasikia tu mie Huku sina mbavu,hasa mama lao VIP, Gea,ananikuna mno!XXL ubrazamen mwingi asa Adam
ReplyDeletefeti- bomba (ila kipindi si mshabiki)
ReplyDeleteJackline- unasoma vizuri sana sana sana habari
Bonge- unajituma kuliko
Kibonde- uko juu
Babla- napenda unavyolalamika lalamika
tuambieni wale waanzilishi wa clouds enzi hizo Jyde akiwamtangazaji wako wp?
kina Cyndy mwandanji, seven n.k. pia msiache kuwaalika ktk annivesary zenu as wao ndio founding presenters
Japokuwa wote mpo juu kwa namna mbalimbali, ila Clouds nzima hakuna mtangazaji km Ephraim Kibonde, mzee wa asalaaam alyaikum. Huyu jamaa ndiye anayekibeba sana kipindi cha jahazi, ni mbunifu, ni mchekeshaji ni muelimishaji na ni mchangamfu. Kwakuwa Clouds ndiyo radio namba moja Tanzania, hivyo basi Tanzania nzima hakuna presenter anayemfikia Kibonde.
ReplyDeleteEphraim Kibonde yupo juu saaaaaaaaaaana.
aka Observer.
1. Gerald Hando
ReplyDelete2. Gadna G. Habash
3. Ephraim Kibonde
4. Paul James
I detest Loveness Love, she's is so fake in the industry!
yani on ma way to wrk lazima niwasikilize wakina barbra na gerald...nawazimia sana na bonge...katika upande wa kurasa za habari ni ephraim kibonde...habari kamili namzimia george njogopa...kwa habari za entertainment well ni timu ya XXl...kwa habari za jamii we mwenyewe da dina na namalizia kwa top 20 ya arnord kayanda namzimia jinsi anavyoweka nakshi...madj kama kawa bulla kwenye bambataa na steve b..sijajua sikuhizi venture anafanya nini?but namzimia pia
ReplyDeleteEeehe hapa mwake jamani mimi hawa ndio wangu nawaona wananivutia kwa vigezo viwili Sauti, vichekesho, kuelimisha, na lugha fasaha
ReplyDelete1. Jamani Gerald Hando, Paul James, Babra Hassan
2. Ephrahim Kibonde
3. Dina Of course
4. Gadna Habash
5. Ditector wamefungana na BONGE
Jamani kwa kweli nikiwasikiliza Gerald Hando, Paul James na Babra Hassan asubuhi huwa NASAHAU MADENI YOTE NINAYODAIWA wananifurahisha sana jamani wanastahili NO. 1 wooote . Dina TUNAOMBA UTUONYESHE Ditector wenu pamoja na Bonge.
Hakuna kipindi kinaniudhi kama cha yule DJ Fetty sijui Feheee jamani kwanza nikiangalia dhana nzima ya chombo cha habari ni kuelimisha sasa huyu dada na wenzie wanaongea lugha za kupotosha KISWAHILI chetu kabisa. Wakati unajua kiswahili ndio kwanza kinaanza kupanda chati alafu unamsikia mtu anatambulisha mtu eti MWANADADA anamwita MWANADAFADA ndio nini jamani. Sidhani kama kuna kamusi ya kiswahili ina neno kama hili. Sawa sikatai ni kipindi cha vijana lakini tuangalie na IMPACT ya hayo maneno yanayotumika. Unamfundisha nini mtoto anayesikiliza, unamfundisha nini raia wa kigeni anayekuja kuekeza nchini kwetu na anahitaji kufahamu kiswahili? Are we doing the right thing? Sidhani kama chombo cha habari mtu anapaswa kuongea vitu kama hivi.
Kusema kweli Mimi huwa nampenda Sana Dinna pamoja na Gadna, yaani akiwa anaongea na mwenzake au anamuhoji mtu alafu akaongea neno ambalo kidogo linaenda kunako sipo UTAWASIKIA wanapatwa kigugumizi kama vile wanaona aibu fulani hivi. Kwa kweli Dina na Gadna kwa jinsi wanavyoongea unajua kabisa huyu ni mtu wa aina gani. Wanaongea maneno ambayo una uwezo wa kusikiliza kipindi chao na mtu wa rika lolote lakini hao sijui kina ADAM MCHOMVU SIJUI FETYY NO PLEASE, WANATAKIWA WABADILIKE
Nawasilisha - Violet
kati wa wote uliojitahidi kuwataja hapo juu sijaona kama DJ FETTY kuanzia tabia sura utanashati sauti na utangazaji pia. mnabishaaaaaaaaaaaaaaa keep it up baby gal
ReplyDelete...and the winner by split decision is Efrahim Kibondeeeeeeeee!
ReplyDeleteDina Number 1 ni Kibonde wa pili ni wewe na kundi lako lote na wanaofuatia ni Gerald na kundi lake pia
ReplyDeletehelen
jamani kama sijaweka picha ya mtu si kwamba nambania ni vile sina picha yake,lakini mimi ninachoomba taja tu jina lake na kwa nini,mnisamehe nikizipata nitawawekea.
ReplyDeleteGerald Hando
ReplyDeleteGadna G. Habash
Ephraim Kibonde
Paul James
These dudes are future Larry Kings or Jenerali Ulimwengu! They are really and very analytical. They can pass the message in any way be sarcastic, emotional, sympathizing. Yaani all weather. They are really into the industry!
Of course I like their work and don't miss vipindi vyao
nawapenda wote na ningeomba wote muwe na vipindi ktk clouds tv..hasa dina na kaklin kombe ...anzisheni vipindi vyenu najua vitakua bomba sana ila jaklin endelea na taarifa ya habari upo juu sana...suzy mpeni kipindi cha mapishi ktk clouds tv
ReplyDeletekwakweli wote mpo juu ila Ephrem K.Gerald Hando, Babra Hassan Lovenes Lov mko juu zaidi,Dina sauti yako mashalaah,Gea cheko lako aah mi hoi,ila nimestaajabu kuona Babra na Dinah mlivyo vibonge,nilijua ni viportable kama Dj Fetty!Duh asalam alykum.
ReplyDeleteDina weka picha ya mzee wa njia panda pleeeeeeeaaaase
ReplyDeleteMy favorite presenter ni Adam Mchovu. Power breakfast iko poa kwa Gerald na Paul James. Lakini Babra simpendi ana mashauzi sana na kujidai anajua sana wakati hajui. Gea pia uko juu.
ReplyDeletekwa kwelui the first preasenter naye mpenda ni gadna the guy is so natural cool.....ila mpole tu baazzazi wa mwisho (ahahahahaahahha), but again gadner kama gadner hawezi simama peke yake kuna mtu anaitwa kibonde, yaani wanadepend to each other, huwezi kuwa na mtoto mpaka mimba itungwe yes, ndio uhusiano uliopo. gadner and kibonde are good, na ukitaka kuona kipindi kinaboa, awekwe garner na jamaa mwingine or kibonde na mwingine, yaani siku hiyo jaazi inakuwaga ovyo........
ReplyDeletemtu wa pili anayenivutia ni gerald, huyu ni mropokaji na yuko free sana na anavyojisikia kusema inasaidia sana, ila dada anamuharibia babrayuko artificial so ,much, pj is good in peruzi, na asipokuwepo unaona kudorora......ila bonge jamani big up you are doing good job
wa tatu si wengine ni mashostito kaaaa umbea mnauweza, and you arebien, ila zamaradi kipiondi akimfahi amekaa kunata sister doooo....yeye anafaa zile yes....am,....am
vipindi vinavyonivutia kuvisikiliza tena kwa raha na tabasamu kubwaaa ni
ReplyDelete1. POWER BREAKFAST- WATANDAZAJI WAKE WOTE NAWAPENDA SANA AMBAO NI GERALD HANDO, BABRA HASSAN,PJ & BONGEEEEEEEEEEE
2. JAHAZI- GADNA & EMPHRAIM KIBONDE
WINNIE
mimi kwakweli wanaonikuna "in no particular order" Gerald Hando, Babra Hassan, PJ Mzee wa Chabo, Dinnah na Gea and last Kibonde na Gadna, kibonde ananifurahisha sana na habari za magazeti ya jioni yaani huwa sitaki kukosa. Ila Gadna kidogo huwa ananikwaza ambavyo yuko free kuongea maneno mengine kama vile anapenda sana neno kujamba au ushuzi kulitumia i dont think ni sahihi sana vile anasikilizwa na watu wengi ikiwamo ndugu na jamaa zake ana wakwe ana mtoto sijui huwa wanajisikiaje otherwise huwa nafurahia jahazi na asipokuwapo huwa sioni kama inanoga.
ReplyDeleteNumber one kwa maoni yangu ni Gagna Habash na Number two ni Paul James kwasababu wametulia wanatangaza kwa ufasaha napenda sana utangazaji wao na sauti zao
ReplyDeleteok me naona mtangazaji bora ni wewe dina,kibonde,gea,gadna,na anorld kayanda pia sauti ya reuben naipenda sana na george njogopa.
ReplyDeletesababu
1.wabunifu
2.sauti nzuri
3.hints za kipindi
kipindi cha laza roho atafutwe mtu mwingine anaweza kuandaa then loveness ndo aongee na kutuwekea miziki mizuri,apunguze maneno ya mapenzi
Kibonde is the best!
ReplyDeleteYuko natural, yuko all-weather,yuko well informed, ana sense of humour, yuko humble, mbunifu, na yuko flexible. Anajua afanye nini kwa wakati gani, anakuwa amejiandaa sana, mwepesi kubadili mwelekeo wa mawazo au mjadala kulingana na matakwa ya wasikilizaji. Kifupi ndie kiraka cha utangazaji Clouds!. Hakuna kipindi atakachotangaza akashindwa. Ndio maana huwekwa vipindi vingi kuweka uhai. Ana taarifa (data) nyingi katika nyanja mbalimbali duniani. Hata akipewa kipindi cha watoto, atawafurahisha sana. Mtumieni sana kwenye maandalizi ya TV Clouds, atasaidia sana kubuni mpangilio wa vipindi. Ana kipawa hicho. Kamanda nakupa 5.!
bahati mbaya ile live streaming website yenu niijuayo kwasasa haifanyi kazi tena, ila kwa kipindi nilichobahatika kuitumia na kusikiliza, nilivutiwa na Kibonde na GArdner.
ReplyDeleteasante
kiukweli dina na wenzako mnanipa raha sana kina gea,suzy,zamaradi na wengine ni gadna.mz wa aslym alykm.samahani dina vp kazi ya kua mc unafanya jamani mana nataka unifanyie mana unafaa sana haswa wa kitchen party au dada gea tafadhali naomba jibu ili 2wacliane!
ReplyDeleteGerald anatisha... ni mbunifu wa mada as a result ni starring wa Power breakfast.
ReplyDeleteClouds fm iko juu,watangazaji wanaonivutia ni Gadna,Adam Mchomvu,Dina na E. Kibonde.
ReplyDeleteKuna huyu mtangazaji anaitwa suzy kwa kweli anaboa na maneno yake ya kijiweni mara utamsikia Gea nimekumbuka kukuchamba, mara we anord umechokonoa chokonoa hapa njoo urekebisha. Dina umshauri mwenzio awe anachuja maneno ya kuongea mnasikilizwa na mamia ya watz wakubwa kwa wadogo, anashusha credibility ya kipindi mnaonekana kama mnapiga gumzo tu muda uende. namfagilia sana Gea mama wa hekaheka yuko juu
ReplyDeletekibonde ananifanya chizi nikiwa naendesha gari kwani huwa nacheka sana naomba umfikishie aslam aleykhum yangu please. Rey
ReplyDeleteNionavyo mimi.
ReplyDeleteBabra H. Gerady H. wako juu sana. wakifuatiwa na Dina M. Gea H. Kapten G. Ephraim K. ki ukweli watangazaji wote wako juu sana Big up.
Ephraim Kibonde.. Assalaam alayykum... The one and only Kibonde..Wengine wanamfuatia kwa mbali mnooo..niskize mimi..
ReplyDeletekiukweli tz nzima hii hakuna team ya radio station kama cloudz,ni radio ambayo huchoki kuisikia mwaya,kuanzia subuhi mpk kuchwe,likianzaaga hilo power,leo tena xxl,jijahazi,libambataa,nimalize na hiyo ala za rohoni,mh kazi wanayo wapinzani,mwenzenu hoi kwa loveness diva/dina jamani wapo juuuu,ingawaje wote mnafunika,Mussa Mgaya hapa
ReplyDeletemimi binafsi yangu nampenda sana Ephraim Kibonde ebwana asikwambie mtu huyu mshikaji anajua kumfanya mtu aliyenuna acheke yaani nikipanda kwenye basi muda wa kutoka kazini never miss kusikiliza Jahazi wakati wa magazeti yaani unachekka mpaka basi.wengine ni we Dina,Gadna pamoja na Dj Fetty.
ReplyDeleteMimi nawafagilia saaaana Babra Hassan, Gerald hando na Ephraim Kibonde. Mpo juu kiukweli mnatukosha.
ReplyDeleteGerald Hando nakupendaa uko wazi sana na ni muelewa
ReplyDeleteGadna G. Habash umetulia sana halafu uko fast thinking capacity yako naikubali thats why una balance na Ephraim.
Ephraim Kibonde ur so creative and talented.
Paul James unajitahidi sana unapochambua magazeti mi huwa lazima niwasikize kila siku.
Vipindi vingine huwa nakuwa mzigoni so sipati muda wa kuvisikiliza.So no Comment ninachojua Clouds wote mko juu.
gerard na babra ndo mi naona ni watangazaji wazuri,lakini sauti ya huyu dada loveness love...huwaga ni sooo!!!!!!!!!
ReplyDeletemzee wa salam aleykum, nomaaaaa
ReplyDeleteAlways EPHRAHIM KIBONDE his smart.
ReplyDeleteKWELI MMETUFIKISHA KUNAKO,,
ReplyDeleteBABRA HASSAN NAMPENDA KUPITA MAELEZO HANA MAPOZZ ALIKUJA ARUSHA ALICHEZA MZIKI NA WATU NA BILA MARINGO HUYO ANACHUKUA NAMBA MOJA,,PAUL JAMES ,,GERALD HANDO ,,GEA MIE KICHEKO CHAKE TU KWA KWELI HATA KAMA NILIKUWA NA HASIRA NIKIMSIKIA TU KACHEKA NA MIMI NAFARIJIKA SANA,,, DINAH WE UNA MAPOZZ SANA UNA KUJISIKIA FULANI HIVI PUNGUZA KIDOGO,,EPHRAIM KIBONDE UKO JUU SHEMEJI GADNER NDO USISEME KWA UJUMLA CLOUDS MKO JUU ILA WACHACHE NDO MNA MARINGO YA HOVYO HOVYO.
nampendag huyu diva,yuko poa sana,wengine wote pia big up
ReplyDeletekwa kweli me nimetaja kati ya wale nnao wasikiaga. nasikilizaga PB asubh nikienda kazini na Jahazi on the way back hm vipindi vya mida ya kati sina time inaweza ikapita hat miezi 6 sijasikiliza, hivyo ambao sijawataja msihofu, sijawasikia. I hope wote mko juu kama mkungu wa ndizi
ReplyDeleteBinafsi sitaki kumtaja ni mtangazaji yupi wa hapo clouds anafanya vizuri zaidi,kiproffesion mm ni mtangazaji pia na ili niwe poa zaidi huwa nachukuwa muda mwng nnapokuwa free kusikiliza redio zingne ikiwemo clouds,naona mko poa serious na mnapiga kazi kwelikweli.
ReplyDeleteIla sasa kuna huyu wa sasa anaitwa Loveness Love,duh kiukweli huyu mtangazaji nashindwa kumuelewa kuanzia kwny blog yake mpk lifestile ya maisha yake japo sina hakika anaishi vp,naomba leo nizungumzie kikazi zaidi.Loveness anafanya kipindi cha Ala za Roho saiv lakini hakuna kpnd kinachoboa clouds katika miaka kumi toka ianzishwe kama kipindi hiki cha Ala za Roho.
Nomba nitoe sababu,nahisi Loveness si mtangazaji,au si mtu aliyekuwa na ndoto za utangazaji tangu alipokuwa mdogo,nahisi zaidi ndoto zake zilikuwa ni ustaa na isingejalisha ni ustaa wa namna gani coz zaidi anachokifanya katika Ala za Roho ni personal interest za kwaker mwnyw,ndio mtangazaji pia ni binadamu na ni kawaida kuwa na vitu unavyovipenda but personal interest zisiingilie kazi unless otherwiz utakuwa unaboronga,tunajua Loveness anampenda sana Beyonce,sawa hatumkatazi lakini isiintafie Ala za Roho,Loveness hajui kuchagua muziki wa kucheza,yeye anacheza nyimbo azipendazo yeye zaidi,mara zote tumezoea kusikiiza muziki wa taratibu slowjams n.k katika vipindi vya mida kama ya Ala za Roho lakini imekuwa tofauti sana kwa Loveness,kwa Loveness samtimes tumekuwa tukichezewa r&b hasa zile zny tempo ya juu(dancables).
Kitu kingine nahisi Loveness huwa haandai kipindi b4 hajaingia studio coz amekuwa na topics ambazo zinakuwa raised katikati ya show,nahisi kama anapokuwaga kwenye show ndo anapata wazo na kuli-present palepale kitu ambacho nafahamu ni out of proffesion,vilevile amekuwa ha-conclude topics ambazo zimekuwa zikichangiwa na wasikilizaji,yaani topics zimekuwa mara nyingi zikiishia hewanihewani tu,pia amekuwa akitumia kipindi samtymz kuzungumzia mambo yake binafsi na kujisahau kuwa yuko redioni na anasikilizwa na mamilioni ya watu.
Hayo ni kwa uchache tu kati ya mengi mapungufu nnayoyaona katika kipindi hcho ambayo naamini yakirekebishwa Loveness atakuwa ni very good presenter coz ana sauti nzuri ya kuvutia na amabyo inafit sana kwenye kipindi kama hicho au asikilize vipindi vya zamani vya muda huo alivyokuwa anafanya Tarrence au Sophia Kessy.
Thanx Dina!!!!!!!!!!!!!!!
I love all you guys, keep it up!! Hivi iyo clouds TV itaonekana mpaka mikoani? me nipo A-town kama itafika it will be awesome.
ReplyDeleteKeep it up guys, cheeeeeeeeeers
HEBU DINA TUANDIKIE HIYO BLOG YA HUYO LOVENESS TUCHUNGULIE KUNANI
ReplyDeleteDINA WEKA BAC HIYO WEB SITE YA HUYO LOVENESS MUMY.
ReplyDeletewadau wa loveness aka sauti ya kutoa nyoka pangoni salam zenu hizo hapo.
ReplyDeletewww.diva255.blogspot.com
Dina usinanie hii kitu bana sie ndo wadau wenyewe!
Alafu nikija kwenye pwent...
Me ntakuwa na top 3 tuu basi.
1.Arnold kayanda
2.ephraim Kibonde
3.Loveness Love
kwanini?nimeangalia creativity,tone of voice,exposure of whats goin on outside the world.
Yani asante kwa kuuliza hili swali, kiukweli hakuna kama Gadner na Kibonde ni nomaaa....ubunifu wao haupimikiii,.. Gerald, Kayandaaa na crew zimaa la XXL mkoo juuu....
ReplyDeleteEFRAHIM KIBONDE, WATANGAZAJI WA KIPINDI CHA POWER BREKFAST. hao ndio watangazaji ambao wanatangaza vizuri pia wanafurahisha,wanaelimisha,wanaeleweka katika vipindi vyao. Sio kwamba vipindi vingine ni vibaya la hasha ila hao na hivyo ndivyo vinaavyo nipendeza.
ReplyDeleteDINA!...Pls tuitie kibonde atupigie salaaaaaaaaaaaaam alaikum ktk uwanja wetu huu....japo kwa maandishi....almost kila alie comment kamtaja aisee...NEXT YEAR ntakupigia debe uwe msimamiz mkuu wa uchaguz pia,u seem to be the best referee.
ReplyDeleteNampenda Zamaradi coz she is CNN/BBC material...nilipomsikia siku ya kwanza nilishtuka nikaulizia ...huyu dada ni nani? kwa kweli nilivutiwa sana na sauti yake...kaza buti zama iko siku utakuja kuniambia...tuombe uzima...
ReplyDeleteMwingine ni Kibonde...kaka amebarikiwa na kipaji kwa mola...anauwezo mkubwa wa kutangaza iwe habari, matukio, kuiga sauti au lafudhi za makabila, watu etc...keep it up bro...god bless
Napenda pia sauti ya Babra...she is good...
ReplyDeleteCLOUDS KAMA KUNA KIPINDI KINABOA NI KILE CHA ALA ZA ROHO SIJUI MTANGAZAJI LOVNESS LOVE, MIMI USHAURI HUYO BINTI AWE COACH TENA AMA KIPINDI KITOLEWE, AM SURE YOU ARE CAPABL TO DO IT BETTER.
ReplyDeleteAngela tbt kisiwani said
ReplyDeleteKiukweli clouds napenda kuisikiliza maana huniondolea upweke wakati ninapokuwa mwenyewe! Yaani utaelimika sana na kuburudika mno. Ila mimi ni mnazi wa PB,Leo Tena,Njia Panda,Habari na Jahazi la Captain vingine kiukweli siyo mshabiki sijui shida nini nahisi wale wenzangu na mie wanapata tabu pia hususan ala za Roho!
Vigezo ntavyotumia hapa ni kama vifuatavyo:uelewa wa mambo kwa kina,uwezo wa kuwasiliana na hadhira vema,maandalizi kabla ya kipindi na kukiendesha kipindi kitaalamu na mwisho kabisa ni sauti nzuri whether nzito au nyepesi. Na wafuatao ndiyo wanaonivutia Clouds FM;
1. Ephahim Kibonde
2.Gerald Hando&Paul James
3.Gadner Habash
4.Njoroge
5.Dinna Marious
Wengine siyo kwamba hawafai la hasha wanjitahidi lakini katika tano bora yangu hawapo maana hawanishawishi.
Ahsante DM maana kwa hili mtajua washabiki wenu ni wepi na wanawa-rank vipi!
Wanao vutia Clous FM 88.4 DSM.
ReplyDelete1.Garder Habash
2.Efrahim kibonde
3.Dina Marious
4.Shankupe Geha Habib
Chipukizi:Antonio Nugas.Ushauri apige shule ya kutosha atakuja kuwa momba mbaya.
Kiukweli siyo msikilizaji wa vipindi vyote vya clouds..... lakini ninasikiliza sana Powerbreakfast na Leo tena. PB wote wapo juu coz kila mmoja wao anaburudani yake, including Bonge. Then Leo tena Dina ni muhimu sana, Gea na Suzy wananiburudisha sana hata kama wana maneno ya kiswahili sana lakini hayo ndo maisha halisi ya baadhi ya watanzania wenzetu na ni burudani pia.
ReplyDeleteHongereni sana wote kwa sababu mnafanya kazi kwa moyo na upendo wa dhati kwa radio yenu. God bless you all!
MAONI YANGU NI KWAMBA, PAUL JAMES, ANTONIO NUGAZ,EPHRAIM KIBONDE NA ANORD KAYANDA NDIO THE BEST HAPO CLOUDS, NIMECONSIDER ZAIDI UELEWA KATIKA VIPNDI WANAVYOENDESHA.
ReplyDeleteMaoni yangu ni kwamba, tukianza na ubunifu ni wafuatao;
ReplyDelete1 Gelard Hando & Barbara,-baraha
2Kibonde-Aslaahm
3Adam-mpango mzima
4.PJ-mbuzi karamba reli
5Gea-Mama Lao.
Kujenga hoja;
1 Hando- kaa chonjo,nk
2Gea-Hekaheka
3Said Bonge
4Dina
Kibonde ananikela papara sana.....tulia unapojadili mada kama watu wa PB, Dj Fetty,Reuben,B12, Mashauzi sana hasa ukija hapo mjengo kama sio super star wanakuangalia tu hata salaam upewi. All in all PB is my best show followed by XXL because of Adam,Jahazi Kibonde, Leo Tena I feel relaxed during Chachandu la leo.
dah! ili ni bonge la puzzle. kiukweli clous wafanyakazi wote mpo juu, mi nawapenda kupita maelezo hasa da dina,Gerlad,Babra na Gadna. kiukweli ningependa cku moja pata dinner nanyi coz lov u much. All da best guys!
ReplyDeleteNAIMA HASSAN WA MWANZA
DUUUUU!!!! YAANI NAOGOPA KUPATA LAZI YA MOYO WANGU PINDI NITAKAPO KUFA,BILA YA KUSEMA KIPINDI CHA LEO TENA KILIVYO BOMBA KUANZIA SWEET WANGU DINA,GEA HABIBU NA DADA MTATA SUZZII. NAWAPENDA SANA
ReplyDeleteHUSSEIN NGAHUNGULA (chuo cha ukonga magereza -dsm )
Jamani huyu Jackline Kombe anaolewa lini? au yule mchumba wake wa Uingereza kamtelekeza?, kama mna habari tafadhali zidadafueni tujue
ReplyDeletemapresenter nnaowakubali ni;-
ReplyDelete1.Babra na Gerald
2.kibonde
3.Nchakali
wengine wanafuatia
nnayemchukia ni m1 tu anayejiita lovenes(anaichafua Redio)
MBONA PICHA ZA GEA NA SUZY HAZIPO? MIMI NAPENDA SANA UTANGAZAJI WA GEA SANASANA SAUTI YAKE
ReplyDeleteEphraimu
ReplyDeleteGerard
Dina Marios
Gadner G
Mhh yote yameshasemwa kiukweli lovenes love anaboa sana, Kipindi chake ni kizuri ila ila mtangazaji ndo hakuna. na Zamaradi bado hajapata kipindi yani haendani kabisa na kipindi chako Dina. Zama atangaze habari hapo najua tutainjoy sana mana mana usistaduu wake na kipindi chako ni tofauti ila anasauti tamu kuisikiliza dat is y napendekeza atangaze habari najua tutaenjoy zaidi hapo. Yani ukimtoa huyo diva Clouds ni bomba na vipindi bomba watangazaji bomba. kiasi wengine hua tunahisi kupungukiwa kama hujasikiliza clouds. Asubuhi bwana ndo utajua utamu wa clouds, umeamka umeota mindoto yakutisha ukiwasha radio tu wale viumbe wanakusahaulisha kila kitu.. yani hata foleni barabarani haichoshi kama umefungulia clouds, usiombe sasa siku eaphone za cm zimehabirika halafu unakutana na bonge la foleni hapo ndo utajua jinsi gani power breakfast walivyo na umuhimu. Nihayo tu kwa leo
ReplyDeleteIt's Me. Mam Shekhani
Kweli, Clouds nawakubali, Dr, Mataso, reach me so I could contribute to your progs, mkirway@yahoo.com
ReplyDeletehelloooow dinna naitwa emma kaaya,ni mpenz sana wa clouds fm...especially power breakfast na jahaz...ivi vipindi viwili vina nijenga sana katika nyanja tofaut...nawakibali first:kibonde,,2nd:gerald hando,,3rd:paul james(pj) and finally jirani gadner!!!!
ReplyDeletemimi babu ni namba moja na timu nzima ya pawer break fast nawafagilia sana maana siku ikipita bila kuwasikia uwa nakosa amani sana moyoni mwangu siku nzima
ReplyDeleteaaaaaaaaaaaaaaaaaahhhh? ndio maana mjawapa air tyme kwenye TV kwasababu watangazaji wenyewe wazee lakini mmefanya vizuri kuwapa kidogo wenye mvuto kwenye TV kama unajijua mmbaya usichonge kwenye kipindi chako umenisikia
ReplyDeletezamaradi acha njaa umetukimbia c2c umekuja uko alafu una act kama umeishi mtoni miaka kazaa iliyopita sasa umeenda CCM japo umekuwa CHALIIIIII? Pole usikimbie hapo mjengoni usiwe kama MPENDO ZOEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE
ReplyDeleteunatisha ur so cute jamani
ReplyDeleteMIMI NI MPENZI MZIMA WA SOCIAL FRESH. YANI NAMPA SHAVU SANA MTU MZIMA REABEN NDEGE KWANI NI MKALI ILE MBAYA.NAPIA ANVYO WA HULIKA WATU HUWA NAPENDA SANA HICHO KIPINDI NA KUJI EPRESS NA TIGO.CHAAAAO MZAZI
ReplyDeleteMIMI NI MPENZI MZIMA WA SOCIAL FRESH CHA KILA JUMAMOSI. YANI NAMPA SHAVU SANA MTU MZIMA REABEN NDEGE KWANI NI MKALI ILE MBAYA.NAPIA ANVYO WA HULIKA WATU HUWA NAPENDA SANA HICHO KIPINDI NA KUJI EPRESS NA TIGO.CHAAAAO MZAZI
ReplyDeletedah unajua nilikuwa simjui babra sasa nimemuona japo kwenye net mana mi lile cheko lake kwenye power break fast na wale jamaa kila gerad wanamchekesha sn...ila dah emphraim kibonde yupo juu siku zote.... keep it up kaka.
ReplyDeletenilikuwa sijawahi muona Babra na Hando, ila japo ni kwenye net yatosha. ki-ukweli jamaa wa power-breakfast mko juu kinoma hadi mmenifanya ninunue kiredio kidogo nalala nacho na ikifika saa 12 asubuhi niko nanyi hadi tatu. big up! your critical analysis of issues shows how serious you are, I think you deserve to be there. By Magani Udsm.
ReplyDeleteBabra na Hando nawapa kura ya kwanza ki ukweli they realy do power my breakfast wanakufanya uchangamke na ufurahi hata ukitoka usingizini
ReplyDeleteMy second vote goes to Adam mchomvu na Nchakali hawa wanamautundu flani ambayo yako so funny wanajua kile nini msikilizaji anataka hasa kwenye crazy furahi day Adam hua anakua crazy kiukwelii
With B12 alikua mzuri kinoma by then ila siku hizi amekua akija na swaga flani ambazo zinamfanya asikue real, he should try to remember the real him and be it
Fetty is good she will always be good and the thing that makes her be good is because she is herself and never pretend life it seems alivyo ndani na nje ya kipindi ndo real life yake, keep on beeing real dear sis....
Otherwise wote mko poa, thats it
nakupenda dina na naipenda sauti yako
ReplyDeleteGEORGE NJOGOPA............nashangaa mmemsahau,kulikoni????huyu bwana mi kwangu ndio namba 1,anyefuatia ni GERLAD HANDO... HASA KWENYE ILE KAAAAAAAAA CHONJO!!!!HOLAAAA
ReplyDeleteNYOTE MNAFAKAZI VIZURI KUTOKAKANA NA STYLE YA RADIO YENU MNAJITAHIDI KUVUTA WASIKILIZAJI KWANI VILE MNAVYOTANGAZA NA AINA YA UTANGAZA WENU NDIYO JINSI MNAVYOPATA AINA YA WASILIKIZAJI MNAFANYA VIZURI LAKINI MWAMBIE,SHAFIII DAUDA,IBRAHIMU MASOUD,PJ NA HISI WANACHAMBUA ZAIDI SPORT KULIKO KUTUPATIA TAARRIFA MPYA LABDA NA KOSEA AU HUWA HAWAKAI KAMA WAANDISHI WA HABARI WANAKUWA KAMA WATARAAMU WA SOKA LAKINI WANAFANYA VIZURI KUTOKANA NA STYLE YAO HONGELENI MUNGU AWABARIKI MWAMBIE KIBONDE ASAALAAMALEYKHUM.LISUNGU DAVID KAMBONA
ReplyDeleteGeorge kanuti njogopa nakupenda sana, you present news very well haswa kwenye news feature ya satoo, kwanzia 7.30 to 9 napenda sana, i wish nije nikuone one day unifundishe news presentation styles like tonations, rythms, microphones positions and soforth, like you.Its Amina J
ReplyDeletehi! i lik diva loveness love, i like the show ala za roho, 4sure she present wel, try to sorve problem/conflict it`s all about relationship, chich it happen in real life,so keep it up.
ReplyDeleteaah kibonde na ncha kali noma, b12 alikuwa zamani siku hizi kawa tozi na kapoteza maana
ReplyDeleteMI NAMKUBALI SANA EFRAIM KIBONDE NA GADNER G HABASH KTK KIPINDI CHAO CHA JIONI,HUWA WANACHANGAMSHA WATU SANA WARUDIPO MAJUMBANI WAKITOKEA KAZINI,ILA DINA MDOGO WAKO LOVENESS LOVE KUMBE NI MTU MZIMA MI NILISHANGAA KUCHEKI WEBSITE YAKE ETI AMEWEKA PICHA YA STAR MMOJA MWANAMUZIKI WA KIMAREKANI ANASUBUTU KUUTANGAZIA ULIMWENGU KUWA HUYO NDIE MWANAUME WA MAISHA YAKE!! NILISHANGAA KWA MTU KUJISIFIA UONGO AMBAO HAUNA HATA CHEMBE YA UKWELI,NAJUA YUPO KTK MAHUSIANO NA MBONGO YEYOTE HAPO ILA AKAAMUA KUMKANA NA BADALA YAKE AKAJISIFIA UONGO KWAMBA YUPO KTK MAHUSIANO NA STAR HUYO WA KIMAREKANI,HAILIPI WALA HAINA MAANA KUJISIFIA UONGO ESPECIALLY INAPOKUWA NI MTU AMBAE KILA UKIPITA MITAANI KATI YA WATU KUMI NANE WANAKUJUA!MWAMBIE NI AFADHALI ANYAMAZE KULIKO AONGEE KWANI AMEJIVUA UTUPU MBELE ZA WATU,ok kwa ushauri zaidi mwambie anichek jimlak34@yahoo.com
ReplyDeleteI like you guys you normally make my morning napenda sana sauti zenu given that I would like to praise your creativity I would like you to start a talk show. I will be very much willing to assist with planning and implementation.
ReplyDeleteJibril
Dina Marios noma,
ReplyDeleteAaaaaaaah! nani mwingine zaidi ya DINA MARIOUS
ReplyDeletejamani simpendiiiiiiiiiiiiiiii lovenesslove sijui anajiita diva, kwanza mbayaaaaaaaaaaa misifa kibaoooooooo, nampenda, dina, gerard, na kibonde.
ReplyDeleteKwangu mimi list ni kama ifuatayo?
ReplyDelete1.Gadna Habashi(ingawa kaondaka laikini mchango unaonekana)
2.Gerard Hando-yuko wazi sana
3.Babra Hasani
4.Dina Marios-Creative
5.Milard Ayo(mpya,namtabilia kuwa the best presenter kwenye Cloud radio kijana atafika mbali anafanya utafiti wa mambo)
6.Efrahim Kibonde
7.Gea Habibu(Hekaheka zinafahamisha na kufundisha jamii pia anapresente ipasavyo)
8.Regina Mwalekwa(mpya-anakipaji)
9.B12-mbunifu
10.Adam mchomu-vituko
11.PJ-Chabo
12.Bonge-tafakari
13.Zamaradi - Movie
14.Fetty-Huyo mdada ni mzuri lakin yuko simple mpaka anatia raha.
15.Reuben Ndege Eglish imetulia
16.Anardo Kayanda
17.Jelly Minja na Country Music.
Vipindi,
1.Power Breakfast
2.Leo tena
3.Amprifire
4.Jahazi
5.Easly Sunday
6.XXL
7.Nyimbo za dini
8.
Kwakweli watangazaji wote wa cloudz mpojuu sana mnatangaza vizuri vipindi vyenu ndiyo maana radio yenu ipo juu sana lakini naomba nitoe mtazamo wangu.
ReplyDelete1.Ephahim Kibonde
2.Babra na Gerald
3.GEA NA DINA
4.Gadna Habash
5.Adam mchomu na bonge
hawa wote nawapenda kwa utangazaji wao katika vipindi vyao tena wanavionjo ambavyo uwa wanavitumia kwenye vipindi vyao ambavyo uwavutia watu wanafutilia vipindi vyao.big up cloudz.
DINA mimi nawezasema umenibania naomba unitafutie picha mzuri ya gea habibu ili nimuone manaake sipati picha jinsi alivyo na anavyoendesha hekaheka mtaani mdada ametishaaa..................its me FADHIL NAJOCHE from MTWARA-MASASI
ReplyDeleteKiukwel alipoondoka Gadna niliahidi kutoisikiliza tena clouds lakin kuna kifaa kimoja 2 ambacho mpaka sasa niwe clozd na radio Dinna wa Ukwel,2ache unazi ki ukweli anatisha Its me Ericky...................mtoto wa Kimara.
ReplyDeletedina mbona ujaweka picha ya gea? manake anafanya kazi kwenye mazingira magumu sana.heka heka si mchezo.
ReplyDeleteall of you a hote!!!!!!!!!!!
ReplyDeletedj fe eee wa ukweeee namfeel
ReplyDeleteHi all i luv all power breakfast presenters they are all awesome guyz keep it up.my dear Babra Hassan mumy plz do some exercise u are looking too fat bunguza chips na burger that is my advice to u.
ReplyDeleteGEA power breakfast Gerard Hando 1
ReplyDeleteXXL Mchomvu na B12 2
kibonde japo anazingua na u ccm 3
MBONA SIJAONA AMPLIFAYA YA MILLAD NADHANI NDO INA KIMBIZA MBAYA
ReplyDeletenapenda sauti ya anold na millard ila sauti zao na muonekano wao tofauti
ReplyDeletediva acha kulegeza sauti kama unakipaji siyo mpaka utangazea kwa kulegeza sauti
ReplyDeleteanold unasauti nzuri ila mwonekano wako wakawaida
ReplyDeleteww mwenyew na lovenes mnankonga roho yangu
ReplyDeleteHI nawapenda wote watangazaji lakini wa powerbreafast ndo huwa nawapenda zaidi gerald,babra,pj na bonge wananifanya hata nisilize radio hadi class.mpo juu sana
ReplyDeleteBhaaaaasiiiiii XxxxL
ReplyDeleteyaani mm nawapenda, Gerald Hando, Babra Hassani pamoja naEfraim Kibonde. are my best and favourate presenters.
ReplyDeleteKibonde anajifanya mwanasiasa, daktari, mkemia,Engineer, mjiolojia , fundi umeme, yaan yeye anajua kila kitu!!!si kweli!!! anapotosha sana jamii kwa kuzungumzi issues zingine zinazomzidi kwanza akili, pili hekima tatu umri.
ReplyDeleteAjirekebishe nadhan atakuwa the best presenter after that, kwa sasa!!! PB is cute
Gerard Hando na Babra Hassani mnatisha hambabahatishi hongereni sana, ni mimi fun wenu Boniface Misana wa Dodoma.
ReplyDelete