Tuesday, January 24, 2012

UNAPOKUWA KATIKA MIHANGAIKO HALAFU UNAPIGIWA SIMU NYUMBANI KUNA JAMBO.........

Jana hapa jirani yetu na ofisini aliunguliwa na nyumba Moto huo ulisababishwa na jiko la gesi
wakati moto unatokea dada wa kazi alikuwa nyumbani lakini hakudhurika wala hakuna aliyedhurika
Nyumbani hapo anaishi dada wa kizungu anaitwa Michelle hakukuokolewa kitu hata kimoja zaidi ya gari lake basi.Watu walikuwa wakijaribu kutaka kujitosa kuokoa akawakataza wasije umia bure ikawa taabu.

Watu wa fire walichelewa kufika kama kawaida yao....

was too late




Yote ni mitihani ya maisha hii pole kwake dada Michelle.

2 comments:

  1. Dina, mwambie aje MGen Tanzania akate insurance itamsaidia sana. sio peke yake na wengine wote wajifunze umuhimu wa bima

    ReplyDelete
  2. Huyo Michelle nimempenda, kajali utu kuliko kitu maana mwingine angetangaza dau ili watu wajitose wakaokoe vitu vyake

    ReplyDelete