Wednesday, April 18, 2012

DUUH.....EBWANAEEE

Nyama ya mamba itamuu nyama ya mamba itamuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu...kwa ugali,itamu...kwa ubwabwa itamuuuuuuuuuuuuu...kwa pilau itamuuuuuu

7 comments:

  1. dina wapi tena hii jamani mamba analiwa du!

    ReplyDelete
  2. Mamba analiwa Dinah, pale bagamoyo wanapofuga mamba aliwahi kutueleza kuwa huwa anauza sana sana nyama yake uarabuni, tena kwa bei ghali, na alitueleza kuwa ni tamu sanaaaaa

    ReplyDelete
  3. mamba analiwa, nakumbuka bagamoyo wanapofuga mamba aliwahi kutuambia kuwa wanauza sana nyama ya mamba uarabuni na yeye huwa anakula, alisema ni tamu sana

    ReplyDelete
  4. duh hataaaaaarii!!

    ReplyDelete
  5. hii nadhani ni West Africa manaake kule wajaamaaa mmmm, hapa itakua ni bush meet, hapo chacha

    ReplyDelete
  6. mmh tena anaechinja mwanamke,

    ReplyDelete