Habari ya jioni mdau,mie ndio nimetoka ofisini muda si mrefu saa moja kasoro.Kazi ni nyingi mwezi huu mwanafamilia wa leo tena clouds fm Dodoma,Morogoro na Singida tutakuwa mkoani kwako.Si mkoani kwako tu bali mtaani kwako mpaka nyumbani kwako.Pia mwezi huu kama ilivyokuwa mwaka jana kuna TUZO ZA DADA BORA WA KAZI ZA NYUMBANI.Asubuhi niliahidi kukuandikia juu ya ile kesi ya ASHA MKWIZU lakini muda sikupata kazi za wenyewe zinabana.Kesho nikifika tu ofisini jambo la kwanza ndio hilo.Uwe na jioni njema na usiku mwema pia.
safi lakini Dina unafanya tuingie kwenye blog yako maramkwa mara kujua nini kinaendelea.Asante sana!
ReplyDeletethankx dina nilikuwa nasubiri ngoja na mie nikalale
ReplyDeleteoooh my sweet Dina!!!that gorgi look of urs kips on persisting n i love it.
ReplyDeleteoooh thanks lily z
Deletedina i really do envy you,keep it up
ReplyDeleteHii ndio blog kuandika vitu vya maana si kujisifia na kujionesha onesha. Nakupenda Dina huna makuu.
ReplyDeletemi nilidhani jamii forum wamekuzuia manake wanahisi umechukua habari kwao. Halafu utupe na hitimisho kama linyongwa, yupo jela bado au kasamehewa. more picha tafadhali kingine andikia sript tengeneza movie, wenzetu marekani wangeshatengeneza movie fasta
ReplyDeleteAlishaandikiwa andikiwa movie huyu mama kama sikusei itatoka muda sio mrefu maana hii movie ipo ina ediwa sasa
Deletepole sana dina ila nilikuja sikukuona pole
ReplyDeletehili shindano la dada Bora wa kazi za nyumbani liokoje? niahabarishe maana dada wangu is one of kind. perfecto!!!! na nampenda kama mdogo wangu
ReplyDeleteShindano hili lilianza mwaka jana lengo nikutambua umuhimu wa kazi hii.Kwa kuwapa thamani wafanyakazi hawa wa kazi za nyumbani.Pia kuwapa mwanga wa wao kujiendeleza zaidi kwani watafanya kazi za nyumbani mpaka lini?
DeleteKinachofanyika wewe boss ndio unaandika barua kutupa sifa za dada wako wa nyumbani.Kwa nini anastahili kuwa bora?kwa nini azawadiwe?
Good work dada dina,keep it up.
ReplyDeleteDin atupia vitu vipya aisee, tangia juzi ni hiz pics tuu jamani?
ReplyDelete