Mmmh, pamoja na maumbile, sijui nani atarithi kipaji cha baba yake
ndio maana yake....
Sasha mrembo hatari, na urefu asizid hapo, hatapendeza, atakuwa kama abnormal!!
Nawapenda sana Shasha na Malia, hakika sichoki kuwaangalia. Ona walivyokuwa haraka!! hadi furaha moyoni.
Ila Obama naona kabisa ni kipenzi cha Maria yani ni hand by hand na bintiye Maria kila wakitoka
DU HIYO FAMILIA NIKIANGALIA HUWA INANI IMPRESS. GOD BLESS THEM.
Mmmh, pamoja na maumbile, sijui nani atarithi kipaji cha baba yake
ReplyDeletendio maana yake....
ReplyDeleteSasha mrembo hatari, na urefu asizid hapo, hatapendeza, atakuwa kama abnormal!!
ReplyDeleteNawapenda sana Shasha na Malia, hakika sichoki kuwaangalia. Ona walivyokuwa haraka!! hadi furaha moyoni.
ReplyDeleteIla Obama naona kabisa ni kipenzi cha Maria yani ni hand by hand na bintiye Maria kila wakitoka
ReplyDeleteDU HIYO FAMILIA NIKIANGALIA HUWA INANI IMPRESS. GOD BLESS THEM.
ReplyDelete