Monday, August 25, 2014

MSHINDI WA MWAKA JANA WA SHINDANO LA MWANAMAKUKA BI AZIZA MBOGOLUME AFARIKI DUNIA.

Kikundi Cha Unity Of Women Friends, kupitia mradi wao wa Mwanamakuka Awards na washirika wake, Benki ya wanawake TWB na Cloud Entertainment group. Wana masikitiko makubwa kwa kumpoteza mshindi wa mwaka jana 2013, Bi Aziza Mbogolume.
 Amefariki leo mchana, na anatarajiwa kuzikwa kesho saa tisa mchana nyumbani kwake Magomeni.
Aziza alikuwa mwanamke jasiri, mwenye uthubutu wa kufanya biashara kupitia kipaji chake cha kuchora.
Mungu ailaze roho yake mahala pema peponi,amina.

10 comments:

  1. du may her soul rest in peace

    ReplyDelete
  2. Jamani.....Eeeh Mungu awape ujasiri ndugu, jamaa na marafiki kuita katika kipindi hiki kigumu na kisichoelezeka. Poleni wafiwa!

    Elmmy

    ReplyDelete
  3. Jamani, Pole kwa familia.

    ReplyDelete
  4. Polen ndugu,marafiki,majiran na wanafamilia ktk kipind hik kigumu

    ReplyDelete
  5. May her Soul Rest in Peace Amen.

    ReplyDelete
  6. poleni zaidi wanafamilia

    ReplyDelete
  7. bwana ametoa na ametwaa jina lake libarikiwe,AMEN

    ReplyDelete
  8. Pumzika Kwa amani Bi Aziza

    ReplyDelete