Monday, July 14, 2014

MY HOBBIES

NMuda nilokaa nyumbani kuanzia kipindi nipo likizo ya uzazi nimejikuta nafanya vitu nilivyokuwa natamani kufanya ila sababu ya kukosa timu sikuvifanya.Mie napenda sana maua,napenda mazingira yanayonizunguka yawe safi na yenye mpangilio wa kupendeza.Napenda kupamba nyumba nina weza sio saaana ila kiasi chake kwa uwezo wangu.Nitakuwa na share na wewe baadhi ya hobby zangu.Kama kupamba,kupika,kupanda maua n.k
Nitakuwa naweka mara moja moja.Huwa na nunua maua na kopo naenda kupanda mwenyewe na hata yaliyopandwa tayari nachukua naenda kuyapamba nyumbani.Hunifanya nijisikie vizuriii na kufurahia kazi ya Mungu.

21 comments:

  1. Dina umenichanya na hayo maua nimeyapenda mpk baasi natamani hata kesho nihamie kwangu nami nikapambe kwangu

    ReplyDelete
  2. dina pazuriiiii na maua ni mazuri mnoo dah hongera sana

    ReplyDelete
  3. jamani panavutia sana

    ReplyDelete
  4. hongera maua mazuri sana mi napenda sana maua

    ReplyDelete
  5. YAANI DA DINA I AM addicted to your blog , twitter , facebook instagram LAV U SO MUCH

    ReplyDelete
  6. Bonge la mwanamke dina(kwa upande wangu).nakupenda na unanipa hamasa ya mambo mengi.much love !!

    ReplyDelete
  7. Hongera Dina, maua mazuri sanaaaaaaaaa. Naomba niwe mgeni wako kuja kuchukua mbegu

    ReplyDelete
  8. Yaani we binti una mtazamo tofauti ukilinganisha na ma star wengine, yaani unafanya mambo makubwa mm mama wa 40yrs nabaki nakushangaa! Mungu azidi kukupigania na kukuongoza

    ReplyDelete
  9. Hongera what's a lovely garden! Mimi naomba tu kujua nitaipataje hiyo bicycle ya kubebea maua. Naomba unielekeze inapouzwa. Natanguliza shukrani.

    ReplyDelete
  10. hata mimi napenda sana maua sema kupanda sasa ndo hapo

    ReplyDelete
  11. Dina wewe ni mwanamke wa mfano, tunajifunza mengi sana kupitia wewe, hata mume aliyekupata wewe hatajuta kamwe. Nakuombea awe mume bora kwako. Napenda kila kitu chako, Mungu akulinde pamoja na familia yako.

    ReplyDelete
  12. dinna unasifa sana alafu unapenda sana showoff.....

    ReplyDelete
  13. Gud job mama ake Zion.

    ReplyDelete
  14. hakika nakupenda sana dina sijawahi kukuona zaidi ya hapa kwa blog yako ila nimetokea kukupenda sana,mungu aendelee kukuinua zaidi na zaidi kwenye kazi ya mikono yako

    ReplyDelete
  15. mi hivyo vyungu dina.ni udongo au plastic

    ReplyDelete