Wakati Muhimbili University hawawezi kukufundisha biashara, TIA hawawezi kukufundisha ufundi umeme, VETA hawawezi kukufundisha uhasibu na Chuo cha magogoni hawawezi kukufundisha afya MAMA anaweza kukufundisha vyote, tena kila siku na bila gharama. Mama ni mwalimu wa kila somo unalohitaji. Hapo Dina vipi?
Wakati Muhimbili University hawawezi kukufundisha biashara, TIA hawawezi kukufundisha ufundi umeme, VETA hawawezi kukufundisha uhasibu na Chuo cha magogoni hawawezi kukufundisha afya MAMA anaweza kukufundisha vyote, tena kila siku na bila gharama. Mama ni mwalimu wa kila somo unalohitaji. Hapo Dina vipi?
ReplyDelete